Ijumaa, 13 Januari 2017

ALPHA KUTAJA NYIMBO KADHAA AMBAZO HUSIKILIZA ZAIDI

Mshindi wa shindano la Tusker Project Fame msimu wa 3, Alpha Rwirangira alifanikiwa moja ya ndoto kwa kuhitimu shahada yake ya kwanza katika fani  yake ya Masoko na Muziki December 2015


.Ameendelea kukaa nchini humo huku akiendelea kufanya shughuli zake na pia muziki hajauweka kando. Muimbaji huyo amezitaja nyimbo kadhaa ambazo anazisikiliza zaidi kwa sasa kuwa ni:

5. Dume Suruali – Mwana FA f/ Vanessa Mdee
4. Aje – Alikiba
3.Salome – Diamond Platnumz f/ Ray Vanny
2.Muziki – Darassa
1.Ya Mungu – yake mwenyewe

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni