Nyota Ndogo aliweka picha ya mashabiki na kuandika, “@darassacmg plz kuna pesa zako kenya zinakusubiri.this was my show in malindi.nimemaliza kupiga show lakini mashabiki wanamuomba dj acheze nyimbo yako 'MUZIKI' na mimi ni dance. nipo na video yani mimi ni dance.
kimbia mara moja kabla nyimbo haijaisha ufanye tour ongea na @gatesmgenge nimzuri wakupiga debe. unamashabiki sio tz peke ake.do it now.”
Nyimbo hii imekuwa kama nyimbo ya taifa sasa sio kwa Tanzania peke ake ila hata East Africa nzima, so bwana Darassa go collect your money.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni