Jumatano, 11 Januari 2017

Q CHIEF NDANI YA WCB


Label kubwa ya muziki nchini, WCB ya Diamond Platnumz,  a k aT Baba Tiffah  huwenda ikamsaini msanii mkongwe wa muziki nchini  Q Chief anaetamba  na wimbo wa "Sungura"


Muimbaji huyo aliyewahi kufanya vizuri  sana na wimbo  wa 'Si Ulinikataa’ hivi karibuni alitembelea katika ofisi za WCB na kufanya mazungumzo na uongozi wa label hiyo.
“Tayari nimenza kuyaa approach makampuni makubwa sana,” alisema Q Chief. “Kuna uwezokano nikasaini na mmoja ya wadogo zangu ambaye anafanya vizuri kuliko msanii yeyote hapa nchini,”
Aliongeza, kuwa  “Lakini si nasaini kwa sababu mimi ni mjinga, nasaini kwa sababu nataka kuudhihirisha mimi ni Abubakar Katwila na hakunaga Abubakar Katwila mwingine,”.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni