Mwaka 2017 utakuwa wa ubusy mwingi kwa mwamuziki Alikiba. a k a Kingkiba
Muda mfupi baada ya kutangaza tour yake ya Afrika Kusini, itakayoanza mwezi ujao the kingmaster wa nyimbo ya Aje, ametangaza ratiba ya tour nyingine nchini Marekani.
Mkali huyo atatumbuiza ndani ya jiji la Las Vegas, Austin, Houston, Minneapolis na Minnesota. Ziara hizo zitaanza rasmi mwezi March 4 hadi April
.

Katika tour yake SA (South Africa), Kingkiba atazulu miji mitano ambayo ni Johannesburg, Durban, Cape Town, Pretoria pamoja na Soweto.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni