Nay wa Mitego akiendelea kutetemesha soko la muziki kwenye hip hop na wimbo ‘Sijiwezi’ anazidi kutisha kwa kuachia kazi mpya hivi karibuni.
Rapper huyo ambaye amezidi kuonyesha uwezo wake mkubwa wa uimbaji katika wimbo ‘Sijiwezi’, hivi karibuni bado ndani ana ngoma zakutosha ambazo anaweza kuziachia muda wowote.
Rapper huyo ambaye amezidi kuonyesha uwezo wake mkubwa wa uimbaji katika wimbo ‘Sijiwezi’, hivi karibuni bado ndani ana ngoma zakutosha ambazo anaweza kuziachia muda wowote.
Na amewaambia mashabiki wake wajiandae kupokea ujio wake mpya
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni