Mastaa wengi wikiendi hii walimiminika white house kwenye sherehe za kuagwa kwa Rais Barack Obama.
Kwa mastaa ambao waliweza kutokea siku hiyo kwenye sherehe ya kuagwa kwa raisi Barack Obama ni Paul McCartney, Meryl Streep, Pharrell na Solange, Robert De Niro, Common Usher na wengine.
Wengine ni Wale, John Legend, Bradley Cooper, Magic Johnson, Tom Hanks, Kelly Rowland
.picha zao zikionekana hapo chini
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni