Ijumaa, 13 Januari 2017

JOH MAKINI KUBEBWA KISANAA SIJASEMA KWA UBAYA- YOUNG KILLER


Msanii wa muziki wa hip hop Young Killer anadaiwa kumdiss Joh Makini  msanii wa Hip Hop kwenye wimbo yake mpya ‘Sina Swaga’ akidai kwamba anabebwa sana kisanaa


“Mimi sijaiongea kwa ubaya, nimeielezea kwa sababu hata Chidi Benz alishawahi kuizungumzia, lakini Joh kwangu ni msanii ambaye namkubali na kama nikisema nimweke kwenye list, tatu bora yupo,” Young Killer alikiambia kipindi cha Enewz cha EATV

Pia rapper huyo alidai kuwa kuna ushaidi mwingi wa picha kwenye blog tofauti zinazoonesha jinsi Joh anavyotuhumiwa kubebwa kisanaa na kusema hana tatizo na Joh Makini na hata akikutana naye atamsalimia.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni