Muimbaji na Muigizaji Hemedy Phd amedai kuwa baba yake mzazi ni mmoja ya watu walioathirika na madawa ya kulevya.
" Baba yangu aliathirika na madawa ya kulevya na tulijitahidi sana kumtibu zaidi ya mara 6 lakini ikashindikana" alisema Hemedy Phd.
"Mara ya mwisho tukagundua wewe mwenyewe unatakiwa uwamue kutoka moyoni kwamba utaka kuchana na madawa ya kulevya"
Pia alikanusha tetesi zilizosambaa kwamba yeye nae ni mtumiaji wa madawa ya kulevya
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni