Jumatano, 11 Januari 2017

MSANII JOH MAKINI AMESEMA MIPANGO YA KUACHIA ALBAMU

.

Mwaka huu wasanii wa muziki wa Bongo wamekuwa hamasa kuwa za kuachia albamu kwa kasi, Joh Makini amefunguka pia juu mipango yake kuachia albamu yake mwaka huu.

Rapper huyo amesema kuwa mpaka sasa ana albamu mbili ambazo zipo tayar bado  hajajua maalumu  muda wa kuachia albamu zake.  "mimi binafsi nina albamu mbili. Nikiwa tayari nitasema rasmi", amesema Joh.
h.
Master huyo wa Perfect Combo ameongeza kuwa mashabiki wakae tayari na watulie kuhusu kolabo zake alizofanya na Falz, Davido na YCEE (wote wa Nigeria) watazisikia kwa kuwa amezifanya nyimbo hizo kwa ajili ya


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni